Vigezo katika kueleza Umuhimu wa Mhusika
Swali la kujadili umuhimu wa mhusika fulani ni rahisi iwapo mwanafunzi anakumbuka mtiririko wa matukio vizuri. Ikumbukwe kuwa swali hili hutolewa mifano pia. Mtahiniwa anaweza kuzingatia vigezo vifuatavyo:...
Aina za shamirisho
SHAMIRISHO Shamirisho ni nomino ambayo huashiria kitendwa/mtendwa au kitendewa/mtendewa katika sentensi. Nomino hii huweza kuambatana na kivumishi/vivimushi. Aina za shamirisho Kuna aina tatu za shamirisho Shamirisho kipozi/yambwa tendwa Shamirisho kitondo/yambwa tendewa/yambiwa...
Matumizi ya a-unganifu
UAMILIFU WA A-UNGANIFU A-unganifu huwa na matumizi mbalimbali katika lugha ya Kiswahili. Sehemu hii katika sentensi huunda kirai kihusishi kwani neno kuu huwa ni kihusishi Mfano Nyumba...
Aina za Virai
Maana ya kira Kirai ni neno au fungu la maneno ambalo halina maana kamili. Pia ni sehemu ya sentensi ambayo haina muundo wa kiima kiarifu Sifa...
Vivumishi ya pekee
Vivumishi vya pekee huwa sita. Kila kivumishi katika kundi hili huwa na matumizi ya kipekee Aina ya vivumishi vya pekee 1. enye2. enyewe3. ote4. o-ote5.ingine6....
Sifa za Wahusika
ufafanuzi wa sifa hizi ambazo mara nyingi hutumiwa kuelezea wahusika katika fasihi ya Kiswahili: Sifa Hasi (Tabia Mbaya) Mzinifu: Mtu anayeshiriki vitendo vya ngono nje...
Mbinu za Kukusanya Fasihi Simulizi
Mbinu hizi zinaweza kutumika katika ukusanyaji wa fasihi simulizi kwa jumla. Ufafanunuzi utategemea utanzu/kipera husika. Utazamaji wa kushiriki au kutoshiriki.Mtu anaweza kushiriki katika kikao cha utamkaji wa...
Ngeli za Kiswahili
Ngeli ni mpangilio wa nomino katika makundi. Mpangilio huu ni muhimu sana katika lugha ya Kiswahili kwani husaidia katika upatanisho wa nomino na vitenzi na maneno...
How to speak Swahili fluently
Most Swahili learners find it difficult to express themselves in fluent Swahili. This article will discuss different methods that you can use to overcome this...