1 min read
Uainishaji wa irabu
SAUTI
Maana: Sauti ni mlio unaotokana na mgusano wa ala za kutamkia wakati wa kuzungumza
Aina za sauti
Sauti za lugha ya kiswahili zimegawika katika makundi mawili:
Irabu
Konsonanti
Irabu
Irabu ni sauti ambazo inapotamkwa hewa kutoka mapafuni haizuiliwi Kwokwote, yaani hewa...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up