1 min read
Matumizi ya a-unganifu
UAMILIFU WA A-UNGANIFU
A-unganifu huwa na matumizi mbalimbali katika lugha ya Kiswahili.
Sehemu hii katika sentensi huunda kirai kihusishi kwani neno kuu huwa ni kihusishi
Mfano
Nyumba ya mbao
Kiti cha enzi.
Gari la abiria.
Sehemu zilizopigiwa mstari ni...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up