Vitenzi Halisi
Maana Vitenzi halisi huashiria kutendeka kwa kitendo. Kitendo hiki huweza kukanushwa pia(kutotendeka) Mifano katika sentensi sahili Paula anosoma riwaya. Wananchi hawajapiga kura. Gari hilo limenunuliwa leo. Mgeni hatakuja leo. Yeye atachelewa sana Mifano katika sentensi ambatano Yeye amejificha lakini mlinzi amemuona....
Matumizi ya kiambishi “na”
Kiambishi kina matumizi yafuatayo katika lugha ya Kiswahili. Kuonyesha wakati uliopo/wa sasa Mfano: Rais anahutubia wananchi. Omondo anapiga simu. Kiunganishi (Kuunganisha maneno, virai, vishazi,sentensi) Mfano: Joseph na Maria wamechguliwa....
Dhana ya Kiima
Kiima huonyesha nomino au kiwakilishi ambacho hufanikisha kutendeka kwa kitendo. Kwa mfano: Paka anakunywa maziwa. Nani anakunywa maziwa? Paka. Kwa hivyo paka ndiye mtendaji Miundo...
How to learn Swahili fast
Speaking Kiswahili fast requires practice and familiarity with the language. Here are some tips that can help you speak Kiswahili faster: Build your vocabulary: The more...
Umuhimu wa amani katika jamii
Amani ni moja ya mambo muhimu zaidi katika maisha ya mwanadamu. Inamaanisha kuwa na utulivu wa akili, kutokuwa na wasiwasi, na kuishi bila hofu ya...
Nafasi ya Lugha ya Kiswahili Duniani
Kiswahili ni lugha inayozungumzwa na watu zaidi ya milioni 150 duniani kote. Lugha hii ina majukumu mbalimbali ambayo inatekeleza: Lugha ya kikanda: Kiswahili ni lugha...
Numbers 1-100 in Kiswahili
Moja Mbili Tatu Nne Tano Sita Saba Nane Tisa Kumi Kumi na moja Kumi na mbili Kumi na tatu Kumi na nne Kumi na tano...
Domestic animals in Swahili
Hapa kuna orodha ya wanyama wa nyumbani kwa lugha ya Kiswahili. Wanyama hawa ni wale ambao hufugwa na binadamu kwa madhumuni mbalimbali kama vile chakula,...
Swali la Ushairi
Makala haya yatakuelekeza namana ya kujibu maswali ya ushairi. Majibu pia yametolewa. Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali Hapa duniani, moyo unaimba Mioyo yetu yakutane,...