Premium Content
2 min read
Dhana ya Kiima
Kiima huonyesha nomino au kiwakilishi ambacho hufanikisha kutendeka kwa kitendo.
Kwa mfano: Paka anakunywa maziwa.
Nani anakunywa maziwa? Paka. Kwa hivyo paka ndiye mtendaji
Miundo ya kiima
Nomino pekee
Linet anapaka gari rangi.
Kuku anachakura mchangani.
Mwikali anasoma habari...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up