Namna ya kutambua sifa za wahusika katika fasihi
1.Maelezo ya mwandishi Waandishi mara nyingi hutaja sifa za wahusika moja kwa moja au kwa njia ya maelezo. Shogake Dada ana Ndevu-Alifa Chokocho Safia Ni...
Dhana ya mofimu
Mofimu Karibuni katika kipindi cha leo ili tujifunze aina, mifano na matumizi ya mofimu katika lugha ya Kiswahili. Mofimu ni nini? Mofimu ni kipashio kidogo...
Uhuru wa Mshairi
Mtunzi wa shairi amekubaliwa kutumia lugha namna anavyotaka wakati anatunga shairi.Anaweza kukiuka kanuni ambazo hutawala sarufi. Uhuru huu humsaidia kukidhi mahitaji ya kiarudhi kama vile urari wa...
Sentensi Ambatano Changamano
Aina za Sentensi: Ambatano Changamano Uchambuzi wa kina wa sentensi zenye vishazi huru na tegemezi. Kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu sentensi ambayo ni ambatano lakini...
Aina na miundo ya silabi
Silabi katika Kiswahili Silabi ni kipashio kinachotamkika ambacho hujumuisha sauti moja au zaidi zinazotamkwa mara moja kama fungu moja la sauti. Aina za Silabi Katika...
Sentensi Ambatano
MAANA : Sentensi ambatano ni sentensi ambayo ina vishazi huru viwili au zaidi. Kishazi huru huwa na maana kamili. Kikiondolewa katika sentensi kuu huwa kina maana iliyokamilika. Mara...
Methali Tamu za Kiswahili
Top 10 Swahili Proverbs Gundua utajiri wa lugha ya Kiswahili kupitia methali hizi maarufu zinazotoa mafunzo, busara, na maonyo kuhusu maisha. 1. Haraka haraka...
Common Swahili Phrases used in Kenya
Beware of the following Kiswahili phrases 1.Nitakupigia You will wait forever. 2.Nakuja Kenyans say this while they’re leaving. 3.Si mbaya saana Somebody is not satisfied...
Uainishaji wa irabu
SAUTI Maana: Sauti ni mlio unaotokana na mgusano wa ala za kutamkia wakati wa kuzungumza Aina za sauti Sauti za lugha ya kiswahili zimegawika katika makundi...