Premium Content
2 min read
Sentensi Ambatano
MAANA : Sentensi ambatano ni sentensi ambayo ina vishazi huru viwili au zaidi.
Kishazi huru huwa na maana kamili. Kikiondolewa katika sentensi kuu huwa kina maana iliyokamilika.
Mara nyingi sentensi ambatano huwa na kiunganishi. Kiunganishi hiki hutumiwa kuziunganisha vishazi...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up