Premium Content
3 min read
Vishazi na Virai
Kishazi ni neno au fungu la maneno ambalo lina muundo wa kiima na kiarifu.
Kuna tofauti kati ya kishazi na kirai. Kirai ni neno au fungu la maneno ambalo halina muundo wa kiima na kiarifu.
Kiima ni sehemu ya sentensi ambayo hutambulisha mtendaji wa kitendo ilhali kiarifu ni sehemu ambayo h...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up