Mwandishi: Zablon Rogito
SAUTI
Maana: Sauti ni mlio unaotokana na mgusano wa ala za kutamkia wakati wa kuzungumza
Aina za sauti
Sauti za lugha ya kiswahili zimegawika katika makundi mawili:
- Irabu
- Konsonanti
Irabu
Irabu ni sauti ambazo inapotamkwa hewa kutoka mapafuni haizuiliwi Kwokwote, yaani hewa upita kwa ulaini.
Sauti za irabu ni tano nazo ni:
/a/,/e/,/i/,/o/,/u/
Vigezo vya kuainisha irabu
Irabu uainishwa kwa kuzingatia Vigezo vifutavyo
1. Hali ya midomo
- Mviringo: u,a
- Kutandazika: a,i,e
2. Mkao wa ulimi katika kinywa
- Juu: u,i
- Chini: a
- Kati: o,e
3. Sehemu ya ulimi ya kutamkia
- Mbele: e,i
- Kati: a
- Nyuma: u,o
Sauti na sifa zake bainifu
/a/_hutamkiwa chini kati
_inapotamkwa midomo utandazika
/e/_hutamkiwa mbele kati
_midomo utandazika
/i/_hutamkiwa mbele juu
_midomo utandazika
/o/_hutamkiwa nyuma kati
_midomo huwa mviringo
/u/_ni sauti ya nyuma juu
_inapotamkwa midomo huviringika

hi
Hamjambo
Hatujambo
Mkao wa mdomo pia ni kipengele cha uainishaji
Hey guys
Hi guys
Niaje
Kwa hali ya mdomo /a/ si tandazwa rekebisha