Viambishi

Maana ya kiambishi

  • Ni mofimuinayoongezwa kabla au baada ya mzizi wa neno ili kuleta maana iliyokusudiwa.
  • Kiambishi ni kipande cha neno chenye maana ya kisarufi ambacho huongezwa kabla au baada ya mzizi wa neno ili kuleta maana iliyokusudiwa.

    Kuna aina mbili za viambishi

    1. Kiambishi awali
    2. Kiambishi tamati

    Kumbuka kuwa:

    Mzizi ni sehemu ya neno ambayo huongezwa viambishi.

    Mfano:

    • Wa-tu / m-toto :(nomino)
    • A-na-chez-a/ a-ta-pik-a :(kitenzi)

    Viambishi awali hutumika kuonyesha:

    1. Ngeli
    2. Kiima/mtenda
    3. Nafsi
    4. Wakati
    5. Yambwa(mtendwa/ mtendewa)
    6. Hali (timilifu/mazoea/isiyod hihirika/masharti)
    7. Kirejeshi
    8. Kikanushi
    9. Umoja/wingi
    10. Ukubwa/udogo wa nomino

    Mifano ya Vikanushi

    Viambishi tamati hutumika kuonyesha:

    1. kirejeshi
    2. kiulizi
    3. Kauli/mnyambuliko
    4. Kiishio
    5. Uundaji wa nomino

    Kubainisha viambishi

    Mfano 1

    Mfano 2

    Mfano 3

    Mfano 4

    Mfano 5

    a)Onyesha viambishi awali na viambishi tamati

    b) Bainisha majukumu ya viambishi ulivyotambua

    • ViatuWalipochezaTegewaHakumpigaAnyweshavyoAlimdharau

    • jigari

    Majibu

    1. Viatu: awali; vi
    2. Walipocheza- awali:wa,li,po tamati: a
    3. Tegewa: –                                      tamati: ew, a
    4. Hakumpiga- awali:ha,ku,m                                      tamati: a
    5. Anyweshavyo- awali: a                              tamati:esh, a, vyo
    6. alimdharau- awali:a,li,m
    7. jigari: awali; ji


    Share this;

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *