Kueleza maana ya silabi na kutunga maneno
Maswali:Silabi
Leave a reply
Silabi ni kipashio kinachotamkika
Maana
Sauti mbili au zaidi zinazotamkwa kwa pamoja.
Sauti mbili au zaidi ambazo hutamkwa kama fungu moja la sauti.
Aina za silabi
Kuna aina mbili za sila katika Kiswahili
Silabi funge
Hizi ni silabi ambazo huishwa kwa konsonanti
Mfano: m-tu
Silabi wazi/huru
Hizi ni silabi ambazo huishia kwa irabu
Mfano: ka-ka, le-o,u-si-ku
MUUNDO WA SILABI
Kuna miundo mbalimbali ya silabi katika Kiswahil
Irabu pekee
o-a,i-ta
konsonanti pekee
m-tu
konsonanti irabu
ji-tu
konsonanti konsonanti irabu
fye-ka, bwe-ka
konsonanti konsonanti konsonanti irabu
mbwe-ha,twa-ngwa
Mifano ya maswali