“Jina lako litashamiri. Utapata tuzo nyingi pia”
a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
b) Fafanua umuhimu wa msemaji wa kauli hii katika tamthilia. (alama 8)
c) Eleza mbinu zingine anazotumia Majoka kuongoza Sagamoyo. (alama 8)
a) Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
b) Fafanua umuhimu wa msemaji wa kauli hii katika tamthilia. (alama 8)
c) Eleza mbinu zingine anazotumia Majoka kuongoza Sagamoyo. (alama 8)