- Moja
- Mbili
- Tatu
- Nne
- Tano
- Sita
- Saba
- Nane
- Tisa
- Kumi
- Kumi na moja
- Kumi na mbili
- Kumi na tatu
- Kumi na nne
- Kumi na tano
- Kumi na sita
- Kumi na saba
- Kumi na nane
- Kumi na tisa
- Ishirini
- Ishirini na moja
- Ishirini na mbili
- Ishirini na tatu
- Ishirini na nne
- Ishirini na tano
- Ishirini na sita
- Ishirini na saba
- Ishirini na nane
- Ishirini na tisa
- Thelathini
- Thelathini na moja
- Thelathini na mbili
- Thelathini na tatu
- Thelathini na nne
- Thelathini na tano
- Thelathini na sita
- Thelathini na saba
- Thelathini na nane
- Thelathini na tisa
- Arobaini
- Arobaini na moja
- Arobaini na mbili
- Arobaini na tatu
- Arobaini na nne
- Arobaini na tano
- Arobaini na sita
- Arobaini na saba
- Arobaini na nane
- Arobaini na tisa
- Hamsini
- Hamsini na moja
- Hamsini na mbili
- Hamsini na tatu
- Hamsini na nne
- Hamsini na tano
- Hamsini na sita
- Hamsini na saba
- Hamsini na nane
- Hamsini na tisa
- Sitini
- Sitini na moja
- Sitini na mbili
- Sitini na tatu
- Sitini na nne
- Sitini na tano
- Sitini na sita
- Sitini na saba
- Sitini na nane
- Sitini na tisa
- Sabini
- Sabini na moja
- Sabini na mbili
- Sabini na tatu
- Sabini na nne
- Sabini na tano
- Sabini na sita
- Sabini na saba
- Sabini na nane
- Sabini na tisa
- Themanini
- Themanini na moja
- Themanini na mbili
- Themanini na tatu
- Themanini na nne
- Themanini na tano
- Themanini na sita
- Themanini na saba
- Themanini na nane
- Themanini na tisa
- Tisini
- Tisini na moja
- Tisini na
- Tisini na tatu
- Tisini na nne
- Tisini na tano
- Tisini na sita
- Tisini na saba
- Tisini na nane
- Tisini na tisa
- Mia moja
Category Archives: Sarufi
Dhana ya Kiima
Kiima huonyesha nomino au kiwakilishi ambacho hufanikisha kutendeka kwa kitendo.
Kwa mfano: Paka anakunywa maziwa.
Nani anakunywa maziwa? Paka. Kwa hivyo paka ndiye mtendaji
Miundo ya kiima
Nomino pekee
Linet anapaka gari rangi.
Kuku anachakura mchangani.
Mwikali anasoma habari.
Nomino+kiunganishi+nomino
Paka na mbwa wemefungiwa pamoja.
Kiongozi na wananchi wanapanda miche.
Nomino +kivumishi
Mtu huyo ana ujuzi mkubwa.
Askari huyo hutii sheria.
Kiwakilishi
Hao husoma vitabu mtandaoni.
Yule atakupigia kesho.
Kiwakilishi + kivumishi
Huyo mkubwa umeleta mvua.
Hayo mengi hayafai.
Nomino na kishazi tegemezi
Mhandisi aliyefanya kazi vizuri amepewa zabuni nyingine.
KUMBUKA
Kiima huweza kutokea katika sehemu yoyote ya sentensi. Aghalabu kihusishi na hutumiwa kuonyesha mtendaji/kiima. Swali hili hutahiniwa sana. Hapa, kiambishi “na <by>” hakitumiki kama kiunganishi.
Mfano: Gari lilioshwa na mgeni wao (kiima)
Katika sentensi hii “Gari” ni shamirisho kipozi ilhali “mgeni wao” ni kiima. Unaweza kuandika : Mgeni wao aliosha gari. Maana haibadiliki. Mtindo huu wa kuandika sentensi kwa Kiingereza huitwa ” Passive and Active voice”
KUMBUKA
Kiima hutokea katika viambishi awali (vitenzi). Huwa ni mofimu inyoonyesha nafsi au mtendaji.
a-na-chor-a, wa-me-kat-a,
Matumizi ya kiambishi “na”
Kiambihi kina matumizi yafuatayo katika lugha ya Kiswahili.
Kuonyesha wakati uliopo/wa sasa
Mfano: Rais anahutubia wananchi.
Omondo anapiga simu.
Kiunganishi (Kuunganisha maneno, virai, vishazi,sentensi)
Mfano: Joseph na Maria wamechguliwa.
Wao hufuga wanyama na kupanda mimema.
Kuonyesha kihusishi cha mtenda
Mfano: Atapelekwa kanisani na Mjomba
Wageni watakaribishwa na waziri wa afya.
Kitenzi kishirikishi kipungufu
Mfano: Mtu huyo ana sifa nyingi.
Watoto wana ujuzi wa hali ya juu.
Mnakaribishwa kuongezea matumizi mengine.