1 min read
Aina ya Mishororo katika shairi
Aina ya Mishororo
1. Mishata
Ni mshororo katika ubeti wa shairi ambao haujakamilika kimaana na hutegemea mwingine unaofuata ili kupitisha ujumbe kamili.
Sifa za mishororo mishata:
Huwa na mizani michache ikilinganishwa na mishororo mingine.
Msomaji hulazimika kusoma mshororo mwingine ili ku...
Login to Read More
Create an account to access our library of professional Swahili lessons.
Login / Sign Up